Back to top

News

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga imemuhukumu mkazi wa Mwigumbi, wilayani Kishapu mkoani Shinyanga Alex Masanja kunyongwa hadi kufa,  baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumuua shangazi yake Merisiana Malisa, mkazi wa kijiji cha Masagara wilayani humo.