Zaidi ya akina mama na watoto 150,740 waliokuwa na dharura ya huduma ya uzazi wamepata huduma ya usafiri wa haraka kupitia mfumo wa rufaa ngazi ya jamii (m-mama) ambapo hadi kufikia mwezi Mei, 2025 umeweza kuzuia vifo na kuokoa maisha ya wajawazito na watoto wachanga wapatao elfu 6,279.