Back to top

News

 Zaidi ya akina mama na watoto 150,740 waliokuwa na dharura ya huduma ya uzazi wamepata huduma ya usafiri wa haraka kupitia mfumo wa rufaa ngazi ya jamii (m-mama) ambapo hadi kufikia mwezi Mei, 2025 umeweza kuzuia vifo na kuokoa maisha ya wajawazito na watoto wachanga wapatao elfu 6,279.