Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemkamata Abdulshahib Hegga, maarufu kwa jina la @official_gb64, kwenye mtandao wa Instagram, kwa tuhuma za kuhamasisha watu kufanya vurugu katika mchezo wa Yanga na Simba.....
Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemkamata Abdulshahib Hegga, maarufu kwa jina la @official_gb64, kwenye mtandao wa Instagram, kwa tuhuma za kuhamasisha watu kufanya vurugu katika mchezo wa Yanga na Simba.....