Back to top

News

Vyama 12 vya siasa nchini vimejitokeza kwa pamoja kupongeza ripoti ya Tume ya kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, na kutaka kuharakishwa kwa mchakato wa maridhiano pamoja na kupatikana kwa Katiba mpya kama ilivyopendekezwa na tume hiyo.