Kampuni ya Airtel Africa imefanikiwa kuokoa matumizi ya zaidi ya lita milioni 9.1 za mafuta ya dizeli katika mwaka wa fedha wa 2025/2026, hatua inayotajwa kuimarisha jitihada zake za kulinda mazingira na kukuza biashara endelevu barani Afrika.
Kampuni ya Airtel Africa imefanikiwa kuokoa matumizi ya zaidi ya lita milioni 9.1 za mafuta ya dizeli katika mwaka wa fedha wa 2025/2026, hatua inayotajwa kuimarisha jitihada zake za kulinda mazingira na kukuza biashara endelevu barani Afrika.