Waziri wa Fedha, Mhe.Dkt.Mwigulu Nchemba amesema utekelezaji wa bajeti Kuu ya Serikali unaathiriwa na hali mbaya ya hewa inayosababishwa na mabadiliko ya tabianchi.
Waziri wa Fedha, Mhe.Dkt.Mwigulu Nchemba amesema utekelezaji wa bajeti Kuu ya Serikali unaathiriwa na hali mbaya ya hewa inayosababishwa na mabadiliko ya tabianchi.