Back to top

News

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imekamata jumla ya Kilogramu 767.2
za dawa za kulevya katika operesheni zilizofanyika katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, na Tanga kuanzia
tarehe 4 hadi 18 Aprili 2024. Kati ya dawa zilizokamatwa, heroin ni kilogramu 233.2, methamphetamine
kilogramu 525.67 na skanka kilogramu 8.33........