Wafugaji sasa wana uhakika wa soko la ngozi inayotokana na mifugo wanayofuga baada ya kukamilika kwa ujenzi wa kiwanda cha kuchakata ngozi ambacho ni sehemu ya kiwanda cha Kimataifa cha Bidhaa za Ngozi cha Kilimanjaro International Leather-KLIC) kinachoendeshwa kwa ubia kati ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) na Jeshi la Magereza.