Back to top

News

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uzinduzi wa meli ya kwanza ya uvuvi wa bahari kuu ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) ni hatua ya kimapinduzi inayolenga kuimarisha uchumi wa taifa kupitia sekta ya uvuvi na uchumi wa buluu.