Back to top

News

#HABARI: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameitaka Wizara ya fedha kuharakisha upatikanaji wa fedha ili kuiwezesha Wizara ya Ujenzi kuanza ujenzi wa miradi ya barabara zilizosainiwa.

Amesema hayo wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro alipokagua barabara ya Holili Rotima- Tarakea Nayemi km 52.8 na kusisitiza ujenzi wake sehemu ya Ikuini -Kirongo Chini km 10 ijengwe  mara moja.