Mgombea urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema wananchi wa Wilaya ya Mwanga watanufaika na miradi mikubwa ya miundombinu na maji, hatua itakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi.
Mgombea urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema wananchi wa Wilaya ya Mwanga watanufaika na miradi mikubwa ya miundombinu na maji, hatua itakayochochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi.