Back to top

News

Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM amewashukuru wanachama na Viongozi waliokuwa chama CHAUMMA na CUF waliohamia Chama Cha Mapinduzi CCM akiwakaribisha wale wote wenye kukereka na kupoteza matumaini huko waliko.