Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), kupitia Sehemu ya Mipango, Masoko na Habari, imeendelea kuimarisha utoaji wa elimu kuhusu matumizi sahihi ya chanjo za mifugo kwa kufanya ziara ya uhamasishaji katika mikoa ya Njombe na Iringa.
Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), kupitia Sehemu ya Mipango, Masoko na Habari, imeendelea kuimarisha utoaji wa elimu kuhusu matumizi sahihi ya chanjo za mifugo kwa kufanya ziara ya uhamasishaji katika mikoa ya Njombe na Iringa.