Back to top

News

Waziri Silaa amesema hayo katika Mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kijijini hapo kwa ajili ya kusikiliza mgogoro wa wananchi hao na serikali juu ya mashamba sita ya Azimio kilakula, Kibaranga, Bwembela Estate, Kihukwi, Sagiusi na Lewa.