Chelsea imeonesha nia ya kutoa ofa nzuri kwa kiungo wa Monaco, Aurélien Tchouaméni (21), kujiunga na Stanford Bridge, huku Juventus nao wakionekana kuvutiwa na mchezaji huyo raia wa Ufaransa.
.
United pia inaangalia kwa ukaribu kumsainisha Jude Bellingham baada ya kumvutia kiungo huyo wa Uingereza katika ziara waliyoifanya kabla hajaamua kuhamia Borussia Dortmund.