Mratibu wa lishe mkoani Lindi, Bw.Stephen Mbwambo, amewashauri wananchi mkoani humo kuona umuhimu wa kutumia chumvi yenye madini joto ambayo ina faida kubwa mwilini mwa binadamu.
Amesema tatizo la udumavu kwa baadhi ya watoto wadogo mkoani Lindi, linatajwa chanzo chake kikubwa ni jamii kutopenda kutumia chumi iliyowekwa madini joto.