Back to top

Polisi Ruvuma kuondoa magari mabovu barabarani

18 April 2019
Share

Kamanda wa kikosi cha usalama  barabarani mkoa wa Ruvuma mrakibu msaidizi wa polisi Salumu Morimori amesema jeshi hilo  limeanza operesheni ya kuyaondoa magari mabovu barabarani kuboresha usalama barabarani huku wananchi wakipongeza operesheni hiyo na kutaka iwe endelevu.