Back to top

Rais Mhe.Samia kufanya ziara ya siku 1 nchini Uganda Aprili 11, 2021.

10 April 2021
Share

Rais wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan kesho Aprili 11, 2021, atafanya ziara ya kikazi ya siku 1 nchini Uganda kwa mualiko wa Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Museveni. 

Baada ya Rais wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu atafanya mazungumzo ya faragha na Mhe.Rais Museveni wa Uganda, kisha viongozi hao watahudhuria hafla ya na kushuhudia utiaji saini kati ya serikali ya Uganda na kampuni ya mafuta ghafi ya Afrika Mashariki (EACOP), juu ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda kwenda Tanga nchini Tanzania.