Back to top

WENGINE 9 WAKUTWA NA EBOLA UGANDA.

24 October 2022
Share

Watu wengine tisa wakiwemo saba wa familia moja ,  mhudumu wa afya na mke wake, wamekutwa na virusi vya Ebola, katika hospitali ya rufaa ya taifa nchini Uganda ya Mulago.

Hofu imeendelea kuongezeka kwamba mlipuko huo huenda usiweze kudhibitika, huku idadi ya maambukizi ikiendelea kuripotiwa katika mji mkuu.