Saudi Arabia imethibitisha kwamba mwandishi wa habari Jamal Khashogg ameuawa ndani ya ubalozi wa Saudi Arabia uliopo Istanbul Uturuki
Kufuatia kadhia hiyo maafisa wa watano wa ngazi za juu nchini humo wamefukuzwa kazi.
Mfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman ameagiza kufanyika mabadiliko katika muundo wa idara ya usalama nchini humo.