Watu watatu wakazi wa wilaya ya Tarime mkoani Mara wamefariki baada Kusombwa na maji wakati wakukatiza daraja la Mto Msati linalounganisha barabara ya kutoka Mwanza kwenda Sirari kukatika kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani hapa.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Tarime Rorya William Mkonda akizungumza kwa njia ya simu amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.