Wanawake wamepigwa marufuku kushiriki katika vipindi vya runinga nchini Afghanistan katika sheria mpya iliyowekwa na serikali ya Taliban.
Waandishi wa kike na watangazaji pia wametakiwa kuvalia hijabu katika runinga , ijapokuwa maelezo hayo mapya hayasemi wanafaa kujifunika kkwa namna gani.
Waandishi wa habari wanasema baadhi ya sheria hazieleweki na zinapaswa kutafsiriwa.