Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw.Gerald Mweli ameitaka Kampuni ya mbolea (TFC) kuongeza kasi ya kuwahudumia wakulima na kuhakikisha mbolea inawafikia wakulima kwa wakati.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw.Gerald Mweli ameitaka Kampuni ya mbolea (TFC) kuongeza kasi ya kuwahudumia wakulima na kuhakikisha mbolea inawafikia wakulima kwa wakati.