Back to top

News

Meneja wa TANROADS Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Salehe Juma Mkwama, TANROADS inaendelea na jitihada za kuhakikisha kuwa miundombinu ya barabara na madaraja mkoani Ruvuma, inaimarishwa ili kurahisisha shughuli za usafiri na usafirishaji wa watu na bidhaa mbalimbali kwa ajili ya kuinua Uchumi na kupunguza umaskini.