Rais Samia amesema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la upanuzi wa uwanja wa ndege wa Iringa, na kuongeza kuwa miradi hiyo ya maendeleo imelenga kukuza uchumi wa mkoa huo na taifa kwa ujumla.
Akizungumza na Waandishi wa Habari, amesema matukio hayo hayakuondoa taswira nzima ya uchaguzi nchini humo, huku akiipongeza Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya nchi hiyo kwa kuratibu vyema zoezi la uchaguzi.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe.Mashimba Ndaki amesema kuwa kwa mujibu wa Taarifa waliyopokea na hali waliyoiona ufugaji wa samaki kwenye vizimba kwenye eneo hilo la Ziwa hauwezi kuwa na matokeo chanya kwa mwekezaji.
Dkt.Mabula ametoa onyo hilo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani, wakati akitoa na kukabidhi taarifa ya uchunguzi wa migogoro ya ardhi katika eneo la Mapinga
Siku tatu baada ya kutokea ajali iliyosababisha vifo vya watu 20 katika eneo la Mwakata wilayani Kahama, Jeshi la Polisi nchini limetangaza, oparesheni maalum ya ukaguzi wa madereva walevi.