Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amekosoa utamaduni wa kudai mahari kubwa, akisema tabia hiyo inawakatisha tamaa vijana wengi kuingia kwenye ndoa kutokana na gharama kubwa zinazowakabili.
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, amekosoa utamaduni wa kudai mahari kubwa, akisema tabia hiyo inawakatisha tamaa vijana wengi kuingia kwenye ndoa kutokana na gharama kubwa zinazowakabili.