
Msajili wa Bodi ya Nyama, Dk Daniel Mushi amepiga marufuku matumizi ya dawa za kupulizia wadudu kutumika katika mabucha kwa lengo la kuua Nzi na badala yake wafanyabiashara wafanye usafi wa kina kwenye mabucha yao huku akisisitiza kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote watakao kaidi maagizo hayo.
