
Halmashauri ya wilaya ya Mwanga Mkoani Kilimanjaro imekamilisha kwa 100% ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa gharama ya zaidi ya shilingi milioni mia mbili arobaini, hali itakayosaidia wanafunzi wote zaidi ya 2,500 waliochanguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani kupata nafasi.
