Back to top

Ngoma za mashetani na majini zapigwa marufuku.

29 October 2019
Share

Ngoma ya mashetani na majini  inayochezwa na moja ya makabila yaliyopo kusini imetajwa  kutumika kutibu magonjwa ya aina mbalimbali licha ya serikali ya wilaya ya mtwara  kuzipiga marufu.

Ngoma hizo ambazo zimekuwa zikichezwa kinyemela na hivyo kusababisha jamii kutibiwa kwa waganga wa kienyeji badala ya vituo vya afya  na hivyo kusababisha usugu wa magonjwa lakini pia vifo.