
Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Prof. Wineaster Saria Anderson kuwa Mwenyekiti
wa Bodi ya Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE).
.
Prof. Anderson anachukua nafasi ya Prof.Eleuther Mwageni ambaye alifariki mwezi Julai, 2021.
.
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ikulu imeeleza kuwa Uteuzi huo umeanza tarehe 07 Novemba.
