![](https://www.itv.co.tz/sites/default/files/styles/large/public/field/image/wadhibitiwe%20111.jpg?itok=nsRLrDSY)
Wanaume mkoani Ruvuma wametakiwa kuacha kuvumilia vitendo vya ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa na wake zao ikiwemo kupigwa na badala yake watafute usuluhishi ili kuepuka kutokea kwa madhara makubwa ikiwemo mauaji.
.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Dawati la Jinsia mkoani humo, Insepkta Odilia Mrosso, katika uzinduzi wa Wiki ya Sheria.