Back to top

WANAUME MNAOPIGWA NA WAKE ZENU MSIVUMILIE

22 January 2023
Share

Wanaume mkoani Ruvuma wametakiwa kuacha kuvumilia vitendo vya ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa na wake zao ikiwemo kupigwa na badala yake watafute usuluhishi ili kuepuka kutokea kwa madhara makubwa ikiwemo mauaji.
.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Dawati la Jinsia mkoani humo, Insepkta Odilia Mrosso, katika uzinduzi wa Wiki ya Sheria.