Back to top

Afukuzwa kazi kwa kumpiga risasi mwenzake.

10 December 2021
Share

Jeshi la Polisi mkoani Lindi, limemfuta kazi askari No.H.2324 PC Joseph kwa kosa la kumpiga risasi askari mwenzake No J.1752 PC Onesmo Joseph wakiwa lindo katika Benki ya CRDB Tawi la Ruangwa kilichosababisha kifo chake akiwa njiani kupelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Kauli hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Lindi ACP Mtatiro Kitinkwi wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisi kwake