
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema kulifanyika makosa kuanza ujenzi wa jengo jipya la abiria la Uwanja wa ndege wa Mwanza bila kuwashirikisha Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA), ambapo ameiagiza TAA kupeleka Mhandisi ambaye atashiriki katika ujenzi huo unaoendelea.
