Back to top

ANASWA AKICHINJA MBWA KAMA KITOWEO BUKOBA

15 June 2023
Share

Mtu mmoja ambaye jina lake halijafahamika,katika Kata ya Kashai,Manispaa ya Bukoba,mkoani Kagera amekutwa akichinja nyama ya mbwa kwa ajili ya kitoweo,, huku nyingine ikiwa imehifadhiwa na kutokufahamika wapi inapelekwa.
.
Afisa mifugo wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba, Vivianu Msigula, amewataka wananchi kuepuka kununua nyama ambazo hazijadhibitishwa na wataalamu ili kuepuka magonjwa yanayoweza kuwakumba.