Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, katika maonesho ya Kilimo yanayoendelea katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma yanayolenga kuonesha ubunifu na teknolojia za kisasa zinavyoweza kuchochea maendeleo kwenye Sekta ya Kilimo.
Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe, katika maonesho ya Kilimo yanayoendelea katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma yanayolenga kuonesha ubunifu na teknolojia za kisasa zinavyoweza kuchochea maendeleo kwenye Sekta ya Kilimo.