Back to top

DC MBARALI NA WAKURUGENZI WATANO WATENGULIWA

24 January 2023
Share

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi Viongozi nbalimbali akiwemo wa Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Bw.Reuben Ndiza Mfune na Wakurugenzi watano.