Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amemshinda Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP) baada ya Mahakama ya Rufani Tanzania kutupilia mbali ombi lake la kutaka kuongeza ushahidi mpya katika kesi ya tuhuma za uhaini inayomkabili.

