Serikali imesema itahakikisha barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino, ambazo zimeendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini, na kuleta uharibifu wa miundombinu ya barabara zinarejeshwa kwa wakati.
Serikali imesema itahakikisha barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino, ambazo zimeendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini, na kuleta uharibifu wa miundombinu ya barabara zinarejeshwa kwa wakati.