Back to top

News

Mamlaka ya Mapato tanzania (TRA), imeibuka Mshindi wa kwanza wa jumla katika tuzo ya  Uandaaji wa Hesabu za Kifedha zinazozingatia viwango vya Kimataifa vya Uhasibu katika Sekta ya Umma (IPSAS), zinazotolewa na  Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA).....................