Back to top

Mfumuko wa bei, wapiga kura kumuondoa Waziri

31 March 2022
Share

Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limepiga kura ya kumuondoa Waziri wa Uchumi wa nchi hiyo Jean-Marie Kalumba kutoka kwenye wadhifa wake, likimlaumu kupanda kwa bei ya bidhaa za kimsingi na usimamizi mbovu wa sekta ya uvuvi. 
.
Waziri huyo aliyeteuliwa kushika wadhifa huo na Rais wa nchi hiyo Felix Tshisekedi, mwaka jana amepewa masaa 48 za kuwasilisha barua yake ya kujiuzulu.