Back to top

Mke wa Balozi Salim Ahmed Salim Bi.Amne Rifai kuzikwa Oktoba 22.

20 October 2020
Share

Mke wa Balozi Salim Ahmed Salim Bi.Amne Rifai amefariki dunia hii leo na mwili wake umehifadhiwa msikiti wa Maamur

Maziko yatafanyika Alhamisi Oktoba 22 ambapo ataswaliwa Adhuhuri msikiti Maamur na kuzikwa makaburi ya Kisutu.

Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema Amina.