Back to top

Mkuu wa JKT awataka vijana kuepuka tamaduni za kigeni zenye athari

22 September 2018
Share

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Martin Busungu amewataka vijana wa kitanzania kuepukana na tamaduni za kigeni ambazo zinaweza kuleta athari katika jamii na kudumaza maendeleo yao na kwamba jeshi hilo lina wajibu mkubwa wa kuendelea kuwaunganisha vijana na kuwandaa katika uzalishaji mali na kuwajengea nidhamu ya kufanya kazi.