Back to top

MWANAJESHI AMPA MIMBA BINTI YAKE WA MIAKA 15

31 July 2023
Share

Gabriel Okedi (38), ambaye ni Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF), anashikiliwa na Polisi nchini Uganda, akituhumiwa kumpa ujauzito binti yake mwenye umri wa miaka 15.

Akitoa taarifa hiyo Msemaji wa Polisi Mkoa wa Ssezibwa, nchini humo, Hellen Butoto, amesema mtuhumiwa huyo anashikiliwa katika kituo cha Polisi cha Njeru, akisubiri kuchukuliwa hatua za kisheria.