Back to top

RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WIZARA MBILI

14 December 2022
Share

Rais wa Jamhuri ya NMuungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Sululu Hassan, amefanya uteuzi wa Naibu Makatibu Wakuu katika Wizara mbili:- 

1:Amemteua Dkt.Hashili Twaib Abdallah, kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Kabla ya uteuzi huo Dkt.Hashili alikuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara(Uwekezaji).

2:Amemteua Kaspar Kaspar Mmuya, kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Kabla ya uteuzi huo Bw.Mmuya alikuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu(Sera, Bunge na Uratibu).