Back to top

Rais Samia amedhamiria kufanya Mapinduzi ya Uchumi.

15 September 2021
Share

Naibu Katibu Mkuu (CCM) Tanzania Bara, Bi.Christina Mndeme, amesema Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan, amedhamiria kufanya Mapinduzi ya kiuchumi ndani ya nchi hii lengo likiwa kuwaletea Watanzania maendeleo.
.
"Na sasa ni jukumu la Watanzania kumuunga mkono bila kuchoka na kuwapuuza wale wote ambao wamejipanga na hawana nia nzuri na maendeleo  ya nchi wasipate nafasi kwani ajenda kubwa ni maendeleo"-Bi.Christina Mndeme.