Back to top

SIMBA YABEBA M-CAMEROON MWINGINE 'CHE MALONE'

09 July 2023
Share

Klabu ya Simba SC, imefanikiwa kuinasa saini saini ya mlinzi wa kati, raia wa Cameroon, Che Fondoh Malone (24), kwa mkataba wa miaka miwili, akitokea Klabu ya Cotton Sports FC.
.
M-Cameroon huyo, anayejulikana kwa jina la utani kama 'Ukuta Yericko', ndiye mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Cameroon (MVP) 2022/23.