Back to top

News

Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe amesema wizara yake  itaendelea kuwezesha upatikanaji wa ajira zenye staha na ushiriki wa vijana na wanawake kwenye kilimo kupitia utekelezaji wa Programu ya Jenga Kesho Iliyo Bora (Building a Better Tomorrow – BBT).