Serikali imesema haitasita kuizua serikali ya Zambia kupitsha mizigo yake hapa nchini kama nayo itaendelea kuwawekea vikwazo wafanyabishara wa mahindi kupitisha mahindi kwenda nchini DRC.
Hayo yamesemwa na Waziri wa viwanda na biashara Mh Inocent Bashungwa wakati wa kongamano maalum masuala ya kilimo na biashara.