Back to top

Wakuu wa Mikoa na Wilaya wapongezwa.

02 January 2022
Share

Waziri Mkuu Mh.Kassim Majaliwa amewapongeza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya nchini kwa kazi nzuri waliyofanya ya kusimamia miradi ya maendeleo na hasa ujenzi wa madarasa.
.
Mh.Majaliwa ametoa pongezi hizo wakati akizungumza na viongozi wa Chama na Serikali wa mkoa wa Ruvuma kwenye uwanja wa ndege wa Ruhuwiko, wilayani Songea.