Uhaba wa watumishi wa afya katika zahanati ya kijiji cha Makote wilaya ya Newala mkoani Mtwara umepelekea kamati ya afya ya za hanati hiyo kutoa huduma za kitabibu kwa wagonjwa ikiwemo kuweka vipandikizi kwa wakina mama, jambo lililoistusha serikali na kutaka uchunguzi ufanyike ili watumishi waliohusika wachukuliwe hatua.