
Watu watano akiwemo mtoto wameuawa baada ya kufuatia mapigano baina ya wakulima na wafugaji katika kijiji cha Elerai kilichopo wilayani Kilindi mkoani Tanga ambapo Mkuu wa Wilaya hiyo amefika katika eneo la tukio na kuzitaka pande zote mbili kusitisha mapigano hayo wakati serikali ikitafuta suluhu ya jambo hilo.
