Back to top

Wazee wanaotunzwa Kigoma waomba makazi yao yaboreshwe.

10 May 2021
Share

Wazee wanaotunzwa katika Kituo cha Kulea Wazee Silabu Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma wameiomba serikali na wadau wa maendeleo kuona uwezekano wa kuezeka upya nyumba zao  ambazo zinavuja  kipindi cha mvua na  maji kuingia ndani na hivyo kuwasababishia adha ya kuishi katika mazingira magumu.