Back to top

Waziri Simbachawene adai taarifa ya makontena 38 ya chuma  chakavu.

09 August 2019
Share

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira Mhe. George Boniface Simbachawene ameagiza mamlaka ya bandari kutoa  taarifa ya makontena 38  ya chuma  chakavu  yaliyosafirishwa nje ya nchi licha ya yeye kuzuia.

Akizungumza katika ziara  yake bandarini jijini Dar es Salaam kukagua makontena ya chuma chakavu  ambapo ameitaka NEMC kusimamia  alitoa magizo makotena hayo yasisafirishwe  hadi ajiridhishe.