Back to top

YANGA WAMPA 'THANK YOU' BERNARD MORRISON

21 June 2023
Share

Timu ya Yanga SC imetangaza kuachana na mchezaji wake machachali Bernard Morrison, ambapo imemshukuru na kumtakia kila la kheri katika maisha yake mapya nje ya klabu hiyo.

Ikumbukwe Mchezaji huyo alijiunga na timu hiyo akitokea timu ya watani wao wa jadi Simba SC.
.
Je, unadhani Morrison ataelekea timu ipi?